Matthew 9:13

13 aNendeni mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”

Isa Aulizwa Kuhusu Kufunga

(Marko 2:18-22; Luka 5:33-39)

Copyright information for SwhKC